У мужчины реакция бесценна, смотреть можно бесконечно! 🤣😅
Мои стихи
1M просмотров
23 июл
01:19
Боже ну и рот😂😂😂 (смотреть до конца)
Мои стихи
472K просмотров
вчера 18:53
1:38:37
«Медики, которые творят чудеса»
Комсомольская правда
474K просмотров
вчера 17:00
00:21
До конца 🤣 неожиданный ответ🤦♀️
Началочка
263K просмотров
вчера 20:50
00:16
Оленеводы на Ямале
В поисках света – Александр Мазуров
338K просмотров
16 окт 2023
01:59
У peбёнка с детства аллepгия на замужество 😂
Женский дневник
272K просмотров
вчера 13:15
01:05
Здравствуйте,я ваш новый зоотехник
Психология о жизни
257K просмотров
вчера 13:16
00:15
Стаканы во «Вкусно — и точка».
Вкусно — и точка
1M просмотров
23 июл
01:32
Адреналин Зашкаливает 🔥🔥🔥
Сергей Ивакин
361K просмотров
вчера 19:29
01:15
Молодец
Мои стихи
3M просмотров
23 июл
03:05
И Шашлыка не надо! Самый лучший рецепт из баклажанов!Очень в...
Кулинарные Секреты
548K просмотров
вчера 16:16
49:59
Русским языком говорю. Выпуск 1
Культура.РФ
347K просмотров
вчера 18:00
00:23
Поспать или поесть 🤣
Началочка
434K просмотров
24 июл
00:17
Добро пожаловать в Приморский окенариум!
Путешествия и всего по чуть-чуть
339K просмотров
10 июл
01:29
Нога. Лампа. Оригинально.
По секрету вокруг света
245K просмотров
21 июл
08:28
WALIMU WALAZIMKA KUTUMIA FEDHA ZAO CHALINZE MZEE PWANI
Ben Komba/Pwani-Tanzania/Octoba 30 2014
Imegundulika wilayani Bagamoyo kuwa Walimu wamekuwa wanakabiliwa na mzigo mkubwa wa kuhakikisha shule inaendeshwa kama inavyostahili, kutokana na wao kulazimika kutoa fedha zao za mfukoni kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya shule.
Akizungumza na RFA Mkuu wa shule ya Msingi Chalinze mzee, BW.HAMIS KIMEZA amesema wamekuwa wakikabiliana na changamoto mbalimbali katika uendeshaji wa shule hiyo ambayo imeanzishwa mwaka 1991, na hivyo kuwalazimu walimu kujikuta wakiingia mfukoni kuchangia mambo ambayo yalitakiwa yafanywe na serikali.
BW.KIMEZA ameongeza kuwa awali shule hiyo ilikuwa haipo katika hali nzuri mpaka Mkuu wa mkoa wa Pwani,BI.MWANTUMU MAHIZA ambaye alipendekeza ijengwe shule ya mabati kwa dharura, jambo ambalo halikufanywa na kuamua kujenga za tofali baada ya kupata msaada kutoka taasisi ya ROOM TO READ.
Amefafanua kuwa ROOM TO READ wameenda mbali mpaka kufikia hatua ya kutoa madawati kwa shule ambazo imeingia nazo mkataba wa kusaidia na hivyo amewataka Watanzanaia nao kuchangia kwa njia moja au nyingine katika kuchangia elimu.
Naye Diwani wa Kata ya Bwilingu, BW.NASSER KARAMA amesema kuwa katika shule hiyo kuna tatizo la maktaba katika Shule hiyo na kwa sasa kipaumbele kikubwa cha Kata ni ujenzi wa maabara ili kuboresha utoaji wa elimu wa masomo ya sayansi ipasavyo.
BW.KARAMA ameongeza kwamba katika ujenzi wa maabara kila mwananchi anatakiwa kushiriki katika uchangiaji ili kuwezesha mpango huo kuwezesha, ambapo mahitaji halisi ni maabara ya Kemia, maabara ya Bailojia na maabara ya Fizikia.
END
VSP Group, my partner program. Get connected! https://youpartnerwsp.com/en/join?72003
Показать еще
16 июн 2016
Присоединяйтесь — мы покажем вам много интересного
Присоединяйтесь к ОК, чтобы посмотреть больше интересных видео и найти новых друзей.